Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amebeba Mwenge wa Uhuru ulipowasili kijijini kwake Msoga wilayani Bagamoyo wakati ukikimbizwa katika mkoa wa Pwani
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza kiongozi wa mbio za  Mwenge wa Uhuru ulipowasili kijijini kwake Msoga wakati ukikimbizwa katika mkoa wa Pwani

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mhe. Mama Salma Kikwete na viongozi wengine wakiwa katika sherehe za kuupokea Mwenge wa Uhuru ulipowasili kijijini kwake Msoga wakati ukikimbizwa katika mkoa wa Pwani

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mhe. Mama Salma Kikwete na wakiwa na wakimbiza Mwenge wa Uhuru ulipowasili kijijini kwake Msoga wakati ukikimbizwa katika mkoa wa Pwani 
Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe. Zainabu Kawawa akihutubia wananchi Mwenge wa Uhuru ulipowasili kijijini Msoga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...