Spika wa Bunge la Lesotho, Mhe. Sephiri Enoch Motanyane akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Zanzibar na kupokelewa na Maafisa Itifaki wa Bunge la Tanzania kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Kanda ya Afrika utakaofanyika tarehe 30 Agosti hadi tarehe 5 Septemba mwaka huu katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa
Home
BUNGE
HABARI
ZANZIBAR
SPIKA WA BUNGE LA LESOTHO AWASILI NCHINI KWA AJILI YA MKUTANO WA 50 WA CPA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...