Msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini, SACP David Misime akizungumza na wajumbe wa Taasisi ya Kutoa Elimu ya Amani Tanzania hawapo pichani lengo likiwa ni kuwafundisha wajumbe hao juu ya namana ya kukabiliana na wavunjifu wa amani na namna ya kutatua matatizo yanayoweza kuwa na madhara makubwa kwa jamii kabla hayajatokea, kikao hicho kilifanyikia eneo la Mbagara wilayani Temeke jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Fimbo Hotel.
Msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini, SACP David Misime akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Taasisi ya Kutoa Elimu ya Amani Tanzania njee ya ukumbi wa fimbo hotel na kushoto kwake ni Mkuu wa Kitengo cha Maboresho ya Jeshi la Polisi SACP Kiyondo na kulia kwa SACP Misime ni Rais wa Taasisi hiyo Willison George.
(Picha na Jeshi la Polisi)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...