Kaimu mkurugenzi wa kampuni ya simu za mkononi,Aidan Komba akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa promosheni ya Tigo Fiesta 2019 Chemsha Bongo iliyofanyika Jijini Arusha.Pembeni yeke ni Mtaalamu wa huduma za Kidigitali wa Tigo,Fabian Felician
Mtaalamu wa huduma za Kidigitali wa Tigo,Fabian Felician akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa promosheni ya Tigo Fiesta 2019 Chemsha Bongo iliyofanyika Jijini Arusha.Pembeni yeke ni Kaimu mkurugenzi wa kampuni ya simu za mkononi,Aidan Komba
Wateja wa Tigo wanaoshiriki katika promosheni ya Tigo Fiesta 2019 Chemsha Bongo kwa mara ya kwanza wana nafasi ya kushinda hadi Sh1 milioni kila wiki huku mshindi wa jumla ataweza kujinyakulia gari mpya aina ya Renault Kwidyenye thamani ya Sh23 milioni.
Meena Ally akitoa maelezo jinsi ya kushinda Gari mpya (0kms) aina ya Renalt Kwid kwenye promosheni ya #TigoFiestaChemshaBongo. Tuma Neno "Muziki" kwenda 15571
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...