Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale wa Zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo (kulia) akipokea Router ya Vodacom toka kwa Mkuu wa Kitengo cha Ushirikiano wa Kikanda Vodacom Tanzania, Aileen Meena mjini Zanzibar juzi kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa Zanzibar Association of Tourism Investors ZATI. Anayeshuhudia ni Akaunti Meneja wa Vodacom Zanzibar, Faraji Mkumbi.
Mkuu wa Kitengo cha Ushirikiano wa Kikanda Vodacom Tanzania, Aileen Meena akizungumza kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa ZATI Mjini Zanzibar juzi, Vodacom ndio mdhamini mkuu wa mkutano huo.
Mkuu wa Kitengo cha Ushirikiano wa Kikanda Vodacom Tanzania, Aileen Meena akimkabidhi laini ya Vodacom kwa Waziri wa Habari na mambo ya kale wa Zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa ZATI.
Mfanyakazi wa Vodacom Zanzibar, Fahad (mwenye kofia) akimuelezea jambo Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo.
Wadau wa Utalii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...