Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Duniani, Mhe. Shandana Gulzar Khan akielezea jambo katika kikao cha kamati ya uongozi kilichofanyika leo katika hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha.
Katibu Msaidizi wa Chama cha Wabunge wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Saidi Yakubu akizungumza na Wajumbe wa kamati ya uongozi wakati wa kikao kilichofanyika leo katika hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha. Wa tatu kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Duniani, Mhe. Shandana Gulzar Khan na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Mhe. Zainab Gimba
 Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CWP Africa Region), Mhe. Zainab Gimba akiongoza kikao cha kamati ya uongozi kilichofanyika leo katika hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha. Wa tatu kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Duniani, Mhe. Shandana Gulzar Khan

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...