Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnagangwa na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni (kulia) wakimsikilza Rais wa Urusi, Vladimir Putin wakati alipohutubia katika Mkutano wa uchumi kati ya Afrika na Urusi (Russia -Africa Economic Forum) kwenye Kituo cha Olympic Park, Sochi nchini Urusi, Oktoba 23, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa uchumi kati ya Afrika na Urusi (Russia -Africa Economic Forum) wakimsikiliza Rais wa Urusi, Vladmir Putin wakati alipohutubia mkutano huo kwenye Kituo cha Olympic Park, Sochi chini Urusi, Oktoba 23, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais wa Urusi, Vladimir Putin akihutubia katika Mkutano wa uchumi kati ya Afrika na Urusi (Russia -Africa Economic Forum) kwenye Kituo cha Olympic Park, Sochi nchini Urusi, Oktoba 23, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...