Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akizungumza na Jaji
Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Joaquine De Mello
alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai akisalimiana na Viongozi wa
Taasisi ya Vyombo vya habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA
TAN) kabla ya kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake Bungeni Jijini
Dodoma. Kikao hicho kilihusu ushirikiano wa pamoja kati ya Ofisi ya
katibu wa Bunge na MISA TAN
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai akizungumza na Viongozi wa
Taasisi ya Vyombo vya habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA
TAN) katika kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake Bungeni Jijini
Dodoma. Kikao hicho kilihusu ushirikiano wa pamoja kati ya Ofisi ya
katibu wa Bunge na MISA TAN
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (katikati) katika picha ya pamoja na Viongozi wa Taasisi ya Vyombo vya habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA TAN) baada ya kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kikao hicho kilihusu ushirikiano wa pamoja kati ya Ofisi ya katibu wa Bunge na MISA TAN, ugeni huo ulioongozwa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Vyombo vya habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania, Ndg. Gasirigwa Sengiyumva (wa pili kulia)
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...