Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Mhe. Charles Kichere alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. 
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimtambulisha Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Mhe. Charles Kichere (wa pili kushoto) kwa Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge za Hesabu za Serikali za Mitaa, Mhe. Vedasto Ngombale (Kulia), Kamati ya Hesabu za Serikali, Mhe. Nangenjwa Kaboyoka (wa pili kulia) na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Mhe. Mashimba Ndaki 

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiagana na Maafisa waandamizi kutoka Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) baada ya kujitambulisha kwake leo Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wanne kulia mbele) akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa waandamizi kutoka Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) walioongozwa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Mhe. Charles Kichere (wa nne kushoto mbele) leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...