Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, Mwakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto (UNICEF), Ndg. Rene van Dongen wakisaini Mkataba wa Makubaliano ya kufanya kazi kwa pamoja kati ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na UNICEF tukio lililofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Katika Makubaliano hayo UNICEF itawezesha Bunge katika kufanya kazi zake kwa urahisi ikiwemo kuwapatia semina na mafunzo ili wawe na uelewa wa kuwatetea haki za watoto Bungeni, ikiwa ni pamoja na kuwasemea kuhusu haki zao za kimsingi;- Haki ya Kuishi, Mavazi, Kusoma na Kusikilizwa, Pia kutetea kupitishwa kwa Bajeti nzuri ya watoto itakayowezesha kufikia malengo


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, Mwakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto (UNICEF), Ndg. Rene van Dongen wakionyesha Mikataba wa Makubaliano ya kufanya kazi kwa pamoja kati ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na UNICEF tukio lililofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Katika Makubaliano hayo UNICEF itawezesha Bunge katika kufanya kazi zake kwa urahisi ikiwemo kuwapatia semina na mafunzo ili wawe na uelewa wa kuwatetea haki za watoto Bungeni, ikiwa ni pamoja na kuwasemea kuhusu haki zao za kimsingi;- Haki ya Kuishi, Mavazi, Kusoma na Kusikilizwa, Pia kutetea kupitishwa kwa Bajeti nzuri ya watoto itakayowezesha kufikia malengo


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, Mwakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto (UNICEF), Ndg. Rene van Dongen wakibadilishana Mikataba wa Makubaliano ya kufanya kazi kwa pamoja kati ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na UNICEF tukio lililofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Katika Makubaliano hayo UNICEF itawezesha Bunge katika kufanya kazi zake kwa urahisi ikiwemo kuwapatia semina na mafunzo ili wawe na uelewa wa kuwatetea haki za watoto Bungeni, ikiwa ni pamoja na kuwasemea kuhusu haki zao za kimsingi;- Haki ya Kuishi, Mavazi, Kusoma na Kusikilizwa, Pia kutetea kupitishwa kwa Bajeti nzuri ya watoto itakayowezesha kufikia malengo


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akifungua mafunzo ya Uwajibikaji na uwazi katika Mikataba ya Manunuzi ya Umma kwa Kamati za Usimamizi za Bunge za Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) leo katika Ukumbi wa Royal Village Jijini Dodoma.


Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Usimamizi za Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) wakimsikiliza Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (hayupo kwenye picha) akifungua mafunzo ya Uwajibikaji na uwazi katika Mikataba ya Manunuzi ya Umma kwa Kamati za Bunge leo katika Ukumbi wa Royal Village Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...