Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto), akisoma Taarifa ya Idara ya Uhamiaji na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa katika Kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Bunge, jijini Dodoma leo. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Ramadhani Kailima. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dtk. Anold Kihaule (kushoto) akiwa na Maafisa wake, wakifuatilia taarifa iliyokuwa inasomwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (hayupo pichani), kuhusu Mamlaka hiyo, katika Kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Bunge, jijini Dodoma leo. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Ramadhani Kailima. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (wapili kushoto), akisoma Taarifa ya Idara ya Uhamiaji na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa katika Kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Bunge, jijini Dodoma leo. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Ramadhani Kailima. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto), akimsikiliza Katibu wake, Nelson Kaminyoge alipokuwa akimfafanulia jambo kabla ya kuingia katika Kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Bunge, jijini Dodoma leo. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Ramadhani Kailima. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...