Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawene amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi kutoka Taasisi ya Kumbukumbu ya Sokoine waliofika ofisini kwake lwa lengo la kuutambulisha Mradi kuimarisha mfumo wa kupanga bajeti na kuhuisha masuala ya mabadiliko ya tabianchi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Fasal Issa alisema Mradi huo wenye thamani ya sh. bilioni 2 utatekelezwa katika wilaya za Mpwapwa, Chamwino na Kondoa mkoani Dodoma.

Alisema kuwa lengo la mradi huo ni kujengea uwezo wilaya hizo katika kuboresha uhimili wa mabadiliko ya tabianchi hususan katika sekta ya maji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...