Injinia Julius Enock kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Idara ya Mazingira akiongea wakati wa ufunguzi wa warsha ya mafunzo kwa wakufunzi kutoka vyuo vya VETA juu ya njia bora za kuhudumia majokofu na viyoyozi bila kuachia angani kemikali zinazoaathiri mazingira. Mafunzo hayo  yamefanyika katika ukumbi wa CCEMI jijini Dar es Salaam na  yameandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.
 Sehemu ya Washiriki waliohudhuria warsha ya mafunzo kwa wakufunzi kutoka vyuo vya VETA juu ya njia bora za kuhudumia majokofu na viyoyozi bila kuachia angani kemikali zinazoaathiri mazingira  wakifuatilia kwa umakini mafunzo yaliyokuwa yakitolewa na mtoa mada (hayupo pichani)  wakati wa mafunzo hayo yalioandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais na kufanyika jijini Dar es Salaam.
Mtaalamu mwelekezi wa mpango wa kupunguza Matumizi ya kemikali jamii ya hydrochlofluocar-cons(HCFCs) kemikali zinazotumika  kweny viyoyozi na majokofu, Bwana Marvin Kamurthuzi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la mazingira (UNEP)  akiwasilisha mada wakati wa warsha hiyo iliyoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.
 Washiriki waliohudhuria warsha ya mafunzo kwa wakufunzi kutoka vyuo vya VETA juu ya njia bora za kuhudumia majokofu na viyoyozi bila kuachia angani kemikali zinazoaathiri mazingira  wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mafunzo hayo, yaliyoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...