RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Askari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya SMT na SMZ vilivyoshirika Gwaride Maalum la Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar lililofanyika katika viwanja vya Amaan Zanzibar, 12,January 2020,  katika chakula Maalum alichowaandalia  katika viwanja vya  Polisi ziwani Zanzibar (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seiuf Ali Iddi.
ASKARI wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya SMT na SMZ , wakijumuika katika chakula maalum walioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, katika viwanja vya  ziwani Polisi Zanzibar.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Gavu, akizungumza kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitowa neno la shukrani kwa Askari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama walioshiriki katika Gwaride Maalum la Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, lililofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar 12,January 2020. Hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Ziwani Polisi Zanzibar
RAIS wac Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua ikisoma na Askari wa Kikosi cha FFU. Ndg.Issa Khamis Juma,(hayupo pichani) (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi na Katibu Mkuu Kiongozi  Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar.Brigedia Jenerali Fadhil Omar Nondo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.Mhe. Haji Omar Kheri.

RAIS  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi, alipowasili katika viwanja vya Polisi Ziwani Zanzibar kuhudhuria hafla ya chakula Maalum alichowaandalia Askari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama walivyoshiriki Gwaride  la Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, lililofanyika 12, January 2020 katika viwanja vya Amaan,(kulia kwa Makamu ) Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe.Zuberi Ali Maulid, Jaji Mkuu wa Zanzibar.Mhe. Omar Othman Makungu na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe Issa Haji Gavu.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekjiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar Brigedia Jenerali Fadhi Omar Nondo, alipowasili katika viwanja vya Polisi Ziwani Zanzibar kuhudhuria hafla ya chakula maalum alichowaandalia Askari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya SMT na SMZ, walioshiriki katika Gwaride Maalum la maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi Zanzibar lililofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar. 12, January 2020, hafla hiyo imefanyika viwanja vya Polisi Ziwani Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa amersimama  na viongozi wa meza wakati ukipingwa wimbo wa Taifa alipowasili katika viwanja vya Polisi Ziwani Zanzibar, (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi na Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi. Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Bridegi ya Nyuki Zanzibar Brigedia Jenerali Fadhil Omar Nondo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.Mhe. Haji Omar Kheri.
 MAOFISA  wa Vikosi  vya Ulinzi na Usalama wakipiga saluti wakati  ukipigwa wimbo wa Taifa baada ya kuwasili Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, (hayupo pichani) katika hafla maalum ya chakula iliofanyika katika viwanja vya  Polisi ziwani Zanzibar.
MAKAMANDA wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya SMZ na SMT walioshiriki katika gwaride Maalum la Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa wamesimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa, katika hafla ya chakula Maalum walioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, (hayupo pichani) katika viwanja vya Polisai Ziwani Zanzibar
MKUU wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar Brigedia Jenerali Fadhil Omar Nondo, akizungumza wakati wa hafla Maalum ya chakula kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, (hayupo picha) kwa Askari walioshiriki Gwaride Maalum la Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar lililofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar 12,January 2020.

ASKARI wa Kikosi cha FFU Issa  Khamis Juma akisoma dua baada ya kumalizika kwa hafla ya chakula Maalum kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein,  kwa Askari walioshiriki Gwaride Maalum la Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar.lililofanyika katika viwanja vya Amaan Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Mkuu wa Bridegi ya Nyuki Zanzibar Brigedia Jenerali Fadhil Omar Nondo, baada ya kumalizika kwa hafla ya chakula maalum alichowaandalia Askari Vikosi vya Ulinzi na Usalama  walioshiriki Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika viwanja vya Amaan  12,January 2020, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Polisi Ziwani Zanzibar.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...