Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma yapokea
taarifa ya Uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Tanzania Zambia
Railways Authority (TAZARA) katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.
Waliohudhuria Kamati hiyo ni pamoja na Wajumbe wa kamati, Ofisi ya
Msajili wa Hazina na Mwenyekiti wa Bodi na Menejimenti ya TAZARA.
Vikao vya Kamati za Bunge vilianza tarehe 13 hadi tarehe 24 Januari,
(Picha na Ofisi ya Bunge).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...