Wananchi wakiangalia bajaj iliyogongwa na gari aina ya Noah katika barabara ya Goba Wilaya ya Ubungo jijijni Dar es Salaam, ambapo chanzo cha ajali hiyo ni mwendo mkali wa gari hiyo ambapo pia dereva wa Bajaj alijeruhiwa.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Bajaji iliyogongwa na Gari aina ya Noah ikiwa katika eneo la Mbezi Luis Wilaya ya Ubungo Barabara ya Goba kama
inavyo onekana pichani chanzo cha ajali hiyo ni mwendo
mkali wa gari hiyo ambapo pia dereva wake alijeruhiwa.(Picha na Emmanuel
Massaka wa Michuzi Tv)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...