Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira (wa pili kulia), Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, Pamela Kikuli(kulia),Mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, SSP Pili Misugwa (kushoto), Mwenyekiti wa Chama cha Riadha Mkoa wa Kilimanjaro, Liston Matacha na Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt, David Tarimo wakifurahia kwa kupiga makofi baada ya uzinduzi rasmi wa mbio za Kilimanjaro Marathon uliofanyika mwishoni mwa wiki Moshi, Mkoani Kilimanjaro.
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, Pamela Kikuli akizungumza na wageni waalikwa pamoja na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati uzinduzi wa Kilimanjaro Marathon uliofanyika mwishoni mwa wiki Moshi, Mkoani Kilimanjaro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...