Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira (wa pili kulia),
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, Pamela Kikuli(kulia),Mwakilishi
wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, SSP Pili
Misugwa (kushoto), Mwenyekiti wa Chama cha Riadha Mkoa wa
Kilimanjaro, Liston Matacha na Meneja wa Kinywaji cha Grand
Malt, David Tarimo wakifurahia kwa kupiga makofi baada ya uzinduzi rasmi wa mbio za Kilimanjaro Marathon uliofanyika mwishoni mwa wiki Moshi,
Mkoani Kilimanjaro.
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, Pamela Kikuli akizungumza na
wageni waalikwa pamoja na waandishi wa habari(hawapo
pichani) wakati uzinduzi wa Kilimanjaro Marathon uliofanyika
mwishoni mwa wiki Moshi, Mkoani Kilimanjaro.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...