Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihotubia katika kikao
cha Viongozi na Watendaji wa Chama na Jumuiya zake za Mikoa na Wilaya
kilichofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha
Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es salaam. Januari 24, 2020
Wanachama wa CCM wakimshangilia Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)
Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli alipokuwa akiwahotubia katika kikao cha Viongozi na Watendaji
wa Chama na Jumuiya zake za Mikoa na Wilaya kilichofanyika katika Ukumbi
wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere Jijini
Dar es salaam. Januari 24, 2020
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Viongozi wengine
wa Serikali na Chama katika kikao cha Viongozi na Watendaji wa Chama na
Jumuiya zake za Mikoa na Wilaya kilichofanyika katika Ukumbi wa Kituo
cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es
salaam. Januari 24, 2020
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwaaga wajumbe wa kikao cha Viongozi na Watendaji wa Chama na Jumuiya zake za Mikoa na Wilaya kilichofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es salaam. Januari 24, 2020.
PICHA NA IKULU
PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...