Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu  jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha  Balozi mteule Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Milanzi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Afrika kusini. Hafla iliyofanyika Ikulu  Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi vitendea kazi Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Milanzi mara baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa Tanzania nchini Afrika kusini. Hafla iliyofanyika Ikulu  Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha  Balozi mteule Dkt. Modestus Francis Kipilimba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Namibia. Hafla iliyofanyika Ikulu  Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini hati ya kiapo ya Mhe. Balozi Dkt. Modestus Francis Kipilimba baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa Tanzania nchini Namibia. Hafla iliyofanyika Ikulu  Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha  Balozi mteule Prof. Emmanuel David Mwaluko Mbennah kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe. Hafla iliyofanyika Ikulu  Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi vitendea kazi Mhe. Balozi Prof. Emmanuel David Mwaluko Mbennah mara baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe. Hafla iliyofanyika Ikulu  Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha  Balozi mteule Dkt. Benson Alfred Bana kuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria. Hafla iliyofanyika Ikulu  Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshuhudia Mhe. Balozi Dkt. Benson Alfred Bana akitia sahihi hati ya kiapo mara baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria. Hafla iliyofanyika Ikulu  Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Mabalozi wapya  wakila kiapo cha maadili kwa watumishi wa Umma  mbele ya Kamshna wa Maadili Jaji Mstaafu Haroid Nsekela huku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani)  akishuhudia mara baada ya kuwa apisha kuwaikilisha Tanzania katika nchi walizopangiwa . Hafla iliyofanyika Ikulu  Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia Mabalozi wapya  wakila kiapo cha maadili kwa watumishi wa Umma  mbele ya Kamshna wa Maadili Jaji Mstaafu Haroid Nsekela mara baada ya kuwa apisha kuwaikilisha Tanzania katika nchi walizopangiwa . Hafla iliyofanyika Ikulu  Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza baada ya kuwaapisha Mabalozi wapya  wanne walioteuliwa kuwaikilisha Tanzania katika nchi mbalimbali walizopangiwa . Hafla iliyofanyika Ikulu  Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa pamoja na  Mabalozi wapya wanne walioteuliwa kuwaikilisha Tanzania katika nchi mbalimbali walizopangiwa mara baada ya kuwaapisha Ikulu  Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wapya  wanne walioteuliwa kuwaikilisha Tanzania katika nchi mbalimbali walizopangiwa  mara baada ya kuwaapisha Ikulu Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Picha na Ikulu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...