Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri
Ikulu jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi mteule Meja
Jenerali Mstaafu Gaudence Milanzi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Afrika
kusini. Hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi vitendea kazi Mhe. Balozi
Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Milanzi mara baada ya kumuapisha kuwa
Balozi wa Tanzania nchini Afrika kusini. Hafla iliyofanyika Ikulu
Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi mteule Dkt.
Modestus Francis Kipilimba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Namibia. Hafla
iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini hati ya kiapo ya Mhe. Balozi
Dkt. Modestus Francis Kipilimba baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa
Tanzania nchini Namibia. Hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam.
Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi mteule Prof.
Emmanuel David Mwaluko Mbennah kuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe.
Hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi vitendea kazi Mhe. Balozi
Prof. Emmanuel David Mwaluko Mbennah mara baada ya kumuapisha kuwa
Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe. Hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar
es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi mteule Dkt. Benson
Alfred Bana kuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria. Hafla iliyofanyika
Ikulu Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshuhudia Mhe. Balozi Dkt. Benson
Alfred Bana akitia sahihi hati ya kiapo mara baada ya kumuapisha kuwa
Balozi wa Tanzania nchini Nigeria. Hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar
es salaam. Januari 14, 2020
Mabalozi wapya wakila kiapo cha
maadili kwa watumishi wa Umma mbele ya Kamshna wa Maadili Jaji Mstaafu
Haroid Nsekela huku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli (hayupo pichani) akishuhudia mara baada ya kuwa apisha
kuwaikilisha Tanzania katika nchi walizopangiwa . Hafla iliyofanyika
Ikulu Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia Mabalozi wapya wakila
kiapo cha maadili kwa watumishi wa Umma mbele ya Kamshna wa Maadili
Jaji Mstaafu Haroid Nsekela mara baada ya kuwa apisha kuwaikilisha
Tanzania katika nchi walizopangiwa . Hafla iliyofanyika Ikulu Jijini
Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza baada ya kuwaapisha
Mabalozi wapya wanne walioteuliwa kuwaikilisha Tanzania katika nchi
mbalimbali walizopangiwa . Hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es
salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Makamu
wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa
pamoja na Mabalozi wapya wanne walioteuliwa kuwaikilisha Tanzania
katika nchi mbalimbali walizopangiwa mara baada ya kuwaapisha Ikulu
Jijini Dar es salaam. Januari 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na
Mabalozi wapya wanne walioteuliwa kuwaikilisha Tanzania katika nchi
mbalimbali walizopangiwa mara baada ya kuwaapisha Ikulu Jijini Dar es
salaam. Januari 14, 2020
Picha na Ikulu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...