Mkuu wa mauzo wa Vodacom kanda ya kaskazini, Brigita Stephen (kulia) akizungumza jinsi ambavyo kampuni ya Vodacom inaweza kuwa mshirika na PAPU katika ujumuishwaji wa kifedha (financial inclusion) kwenye mkutano wa Pan African Postal Union (PAPU) uliofanyika jijini Arusha. Pembeni ni Naibu katibu mkuu wizara ya ujenzi, uchukuzi na mawasiliano, Dkt. Jim Yonaz.
  
Mkuu wa mauzo wa Vodacom kanda ya kaskazini, Brigita Stephen (kulia) akizungumza jinsi ambavyo kampuni ya Vodacom inaweza kuwa mshirika na PAPU katika ujumuishwaji wa kifedha (financial inclusion) kwenye mkutano wa Pan African Postal Union (PAPU) uliofanyika jijini Arusha. Pembeni ni Naibu katibu mkuu wizara ya ujenzi, uchukuzi na mawasiliano, Dkt. Jim Yonaz.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...