Waandikishaji wasaidizi Daftari la kudumu la wapiga kura na Bvr kit Operator wametakiwa kuzingatia muda wa kufungua na kufunga ili wananchi washiriki kikamilifu katika uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura.
Hayo yamesemwa na Afisa Msaidizi Mwandikishaji Daftari la kudumu la wapiga kura Jimbo la Tandahimba Ahmada Suleiman wakati akifungua mafunzo ya Waandikishaji wasaidizi Daftari la kudumu la wapiga kura na BVR kit Operator
"Hakikisheni mnafungua vituo kwa muda muafaka,siyo mwananchi anakuja wewe haupo kituoni Hapo hautaeleweka na hautatufaa,"alisema Suleiman
Naye mwezeshaji Joseph Mongi aliwataka wanasemina hao kutunza Bvr kit hizo kwani serikali imenunua kwa gharama hivyo zinatakiwa zitunzwe ili ziweze kwenda kutumika na maeneo mengine.
Hayo yamesemwa na Afisa Msaidizi Mwandikishaji Daftari la kudumu la wapiga kura Jimbo la Tandahimba Ahmada Suleiman wakati akifungua mafunzo ya Waandikishaji wasaidizi Daftari la kudumu la wapiga kura na BVR kit Operator
"Hakikisheni mnafungua vituo kwa muda muafaka,siyo mwananchi anakuja wewe haupo kituoni Hapo hautaeleweka na hautatufaa,"alisema Suleiman
Naye mwezeshaji Joseph Mongi aliwataka wanasemina hao kutunza Bvr kit hizo kwani serikali imenunua kwa gharama hivyo zinatakiwa zitunzwe ili ziweze kwenda kutumika na maeneo mengine.
Afisa Msaidizi Mwandikishaji Daftari la kudumu la wapiga kura Jimbo la Tandahimba Ahmada Suleiman akifungua mafunzo kwa Waandikishaji wasaidizi na Bvr kit operator.
Mwezeshaji Joseph Mongi akiwaelekeza Bvr kit Operator jinsi ya kutumia mashine hizo
Bvr kit operator wakifanya mazoezi kwa vitendo
Waandikishaji wasaidizi Daftari la kudumu la wapiga kurawakipewa mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...