Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Meja Jenerali Charles Karamba akisaini kitabu cha maombolezo leo katika ukumbi Karimjee jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Joseph Magufuli.
Home
HABARI
Balozi wa Rwanda hapa Tanzania, Meja Jenerali Charles Karamba akisaini kitabu cha maombolezo leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...