Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Jerry Muro amesema ili kutatua jero za wananchi wa wilaya ya Ikungi atatumia kurasa za mitandao ya kijamii, face book, instagram na Twitter pamoja na makundi ya whatsapp ili kujua kero zao na kuzitafutia utumbuzi.

Muro amesema hayo katika mkutano wake na wa awamu ya kwanza na wananchi wa kata ya Unyaahat kijiji cha mahambe jimbo la singida mashariki wilaya ya Ikungi.

Aidha amesema ili kuyafikia makundi mengi atatumia pia atatumia mfumo wa kuweka taarifa kwenye ofisi za serikali za vijiji kupitia watendaji wa vijiji na kata,  mikusanyiko katika madhehebu ya dini na  mikutano ya hadhara itakayofanywa na viongozi wa kisiasa wabunge, madiwani na wenyeviti wa vijiji.




 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...