NYOTA wa Soka Lionel Messi huenda akaongeza rekodi nyingine kwenye maisha yake baada ya kutanganzwa kwa mnada wa seti ya jezi sita alizotumia kwenye Kombe la Dunia mwaka 2022 huko Qatar, ambao kwa mujibu wa Sotheby utafunguliwa November 30, 2023 hadi December 14 Jijini Newyork-Marekani. Ni muda wa kutengeneza pesa ukiwa na Meridianbet, suka jamvi lenye odds kubwa ushinde BAJAJI MPYA au cheza Aviator ya Kasino Mtandaoni upate beti za bure kila siku.

Katika mnada huo jezi zinatarajiwa kuuzwa kwa zaidi ya USD milioni 10 (Tsh. bilioni 24.9) Pesa kama hizi na Maokoto mengi unayapata Meridianbet pekee, bashiri mechi kwa odds kubwa na cheza sloti na michezo ya kasino mtandaoni.

Jezi hizo ni zile zilizovaliwa na La Pulga wakati wa kila hatua ya michuano ya Kombe la Dunia ambapo kama mnada utakwenda kama ulivyopangwa, bei ya seti ya jezi za Messi itapita jezi iliyovaliwa na staa wa mpira wa kikapu Michael Jordan. Cheza Kasino Mtandaoni ushinde kirahisi.

Jordan alivaa jezi hiyo kwenye mchezo wa kwanza wa Fainali za ligi ya NBA 1998 kutoka kwenye msimu wake maarufu wa "The last dance", jezi hiyo iliuzwa kwa dola milioni 10.1 mwaka 2022, ambapo ndiyo jezi inayoshikilia rekodi ya dunia ya kitu chenye thamani zaidi kwenye safu ya kumbukumbu za michezo kuwahi kuuzwa kwenye mnada. Chimbo la ushindi ni moja tu, asikwambie mtu Meridianbet ukigusa tu wanakujaza mihela kibao, cheza kasino mtandaoni, sloti na bashiri mechi nyingi kwa odds kubwa.

Jezi iliyovaliwa na Messi yenye thamani kubwa zaidi kwenye maisha yake ya soka iliuzwa kwa dola $450,000 (Tsh. bilioni 1.1) ilikuwa ni jezi aliyoivaa wakati wa mchuano wa El Clásico mwaka 2017 alipokuwa akichezea FC Barcelona dhidi ya Real Madrid ya Cristiano Ronaldo.

Kwenye mechi hiyo Messi alifunga bao la la ushindi kwa Barca daikia za jioni kabisa, baada ya dakika za nyongeza Messi kuzitumia vizuri katika kushangilia Messi alivua jezi yake na kuwaonesha mashabiki wa Real Madrid. Weka Rekodi kama ya Messi ukishinda pesa za Meridianbet kwa kucheza kasino mtandaoni na kubashiri soka kwa odds kubwa.

NB: KWA 500 TU UNAPATA BAJAJI MPYAA UKIBETI MERIDIANBET KUANZIA MWEZI HUU WA NOVEMBA, PROMOSHENI HII YABAJAJI MIA5 INAISHA MWISHO WA MWEZI HUU, KUWA MMOJA KATI YA WASHINDI WA BAJAJI NA ZAWADI KIBAO KWENYE PROMOSHENI HII KWA KUBASHIRI NA MERIDIANBET PEKEE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...