prodyuza wa filamu josiah kibira akirekodi tukio la tanzania kukabidhiwa kontena tatu la vitabu toka kwa kilimanjaro society book for afrika project huko minnesota. soma mambo yake hapo chini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Kibira ni handsome jamani. Ameoa? Na kwenye sinema yake kuna nafasi za wanawake?

    ReplyDelete
  2. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  3. Samahani ilibidi ni-delete first post maana niliweka wrong e-mail.

    Wenye maswali kuhusu film ya Bongoland 2, wanaweza kunicontact pia.

    My e-mail is: chemiche3@yahoo.com

    ReplyDelete
  4. ...wewe chemi pale kanisani ulilia utafikiri kweli...did you practice that(kulia)? good job na karibu tena Minneapolis!!

    ReplyDelete
  5. KWAKO CHEMI-CHE MPONDA NA JOSIAH KIBIRA. HIVI HIZO FILAMU ZENU MTALETA LINI BONGO ILI TUNUNUE? AU MNATENGENEZA KWA AJILI YA WALIO NJE YA TANZANIA TUU. IPENDENI NCHI YENU, LETENI KAZI ZENU TUZITHAMINISHE PIA VIJANA WA BONGO WAJIFUNZE TOKA KWENU. NAOMBA MZINGATIE OMBI HILI. MAANA SASA INAKUWA KAMA MNAMRINGISHIA MBWA MWENYE NJAA NYAMA YA MFUPA..

    ReplyDelete
  6. Kwa anonymous wa 6:49am. Asante sana kwa comments zako. Niatakaribia tena Minnesota. Nimefanya actor training hapa USA na Tanzania.

    http://www.imdb.com/name/nm0154728/

    Kwa anonymous wa 8:02am, Bwana Kibira anafanya jitihada kusudi mweze kutpata DVD za Tusmamehe Bongo. Nadahani hizi za sasa ni NTSC format na kule mnahitaji PAL format. Unaweza kucheki website yake for updates:

    http://www.kibirafilms.com

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...