memba wa yanga wakikaguliwa uhalali wa kadi kabla ya kuruhusiwa ukumbini kwa ajili ya uchaguzi mkuu dakika chache zilizopita. tayari wagombea wote wameshanadi sera na kujieleza na matokeo yatatoka wakati wowote kuanzia sasa. nitawafahamisha. cha kufurahisha ni kwamba hadi naingia mitamboni hakuna bakora hata moja iliyorushwa kuonesha kwamba sasa jangwani ni shwari...
Home
Unlabelled
uchaguzi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Nawatakia watani wa Jadi uchaguzi mwema ila mhhhh mbona unakwenda sambamba na uchukuaji fomu wa ccm?
ReplyDeletemichuzi toa huu upuuzi wa yanga hapa kama huna picha bora ulete mjadala tujadili
ReplyDeleteHuyu jamaa anayesema upuuzi wa Yanga naona hana sera kabisa. Kaka Michuzi "IGNORE HIM".
ReplyDelete