mwaka 1988: hayati moses nnauye akipozi na baraza la kwanza la chama cha muziki wa dansi. aliyesimama shoto ni mama bishanga aliekuwa afisa utamaduni na wa pili shoto chini ni chifu shoghollo chali, katibu mtendaji wa baraza la sanaa la taifa akifuatiwa na sajini mstaafu wa polisi na mwenyekiti wa chamudata kassim mapili, mh. nnauye, mzee kaduma na juma ubao. nnaowakumbuka nyuma toka kulia ni mbuya makonga 'adios', ali jamwaka, mzee hozza na abel balthazar. wa tatu shoto juu ni mnenge ramadhani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 17, 2007

    huyo mwenye ndevu kama mzee meko anaitwa nani tena vile?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 20, 2007

    REST IN PEACE. Gen Mosses Nnauye. Tutakukumbuka daima milele.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...