Home
Unlabelled
loliondo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Katabalo
ReplyDeleteLoliondo sasa ngoma hua iliishaje?Ni kweli Gorge Fundi Sayore akiwa mnadhimu mkuu wa wa JWTZ aliingilia kati au?Mwinyi kweli alikua ameuza hiyo sehemu au?MERC.ORG(OLE LODAPASH) ni mmasai anaishi Wasington DC aliandika makabrasha kibao kuhusu hiyo saga.Sasahivi inanyemelewa tena na Paul Tudor Jones mwekezaji mwenye fweza nyingi sana East coast ya Amerikani.
ReplyDeleteMichuzi omba undani mimi ninao.
KWENYE HIYO GESTI KAMA HUKUTOKA NA GONJWA LOLOTE? BASI NAFIKIRI WEWE NI ZAIDI YA SUGU,NA KWANINI ULIISHI GESTI HIYO? AU ULIKUWA UNA SAVE PESA?
ReplyDeletemichuzi usikose kutulushia matokeo ya timu yetu ya taifa
ReplyDeletejAmAnI mNaWeZa FuAtILiA gAmE lA sTaRs Na BuRkInA fAsO hApA. HaKuNa PiChA nI mAeLeZo tU LkN LIVE!!!!
ReplyDeletehttp://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/africa/6759819.stm
michuzi bwana wenzio wanaenda baghdab, gaza n.k leo hapo unalalamika acha izo bro.
ReplyDeleteNombeni recipe ya loshoro. Mimi sio mmasai lakini nilikulia Arusha.
ReplyDeleteNikiwa mdogo tulikua tuna rafiki zetu wamasai walikua wanatuletea chakula kimoja kinaitwa LOSHORO .....kilikua kitamu sana
..Mheshimiwa Issa..KUMRADHI MAALIM HABARI ZA SHUGHULI NAONA UNAKUMBUKIA ENZI ZAKO KAKA...HICHO NDIO KILIKUWA KIWANJA CHENYEWE..."..KWELI VYA KALE NI DHAHABU AKSANTE.."..
ReplyDelete