meya wa manispaa ya kinondoni mstahiki salum londa akimpokea maalim seif msibani




sheikh mkuu aliongoza ibada




jeneza likipelekwa nyumbani kwa baba wa marehemu











gari ya maiti ikiwasili na mwili wa marehemu amina

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. I can say that Amina Chifupa amefananishwa na Princess Diana kwa kweli, manake hata watu waliokuwa wanamponda kipindi cha uhai wake wamemwaga machozi baada ya kupata taarifa!! Nasikitika hatutaona tena tabasamu lake!! Alikuwa changamoto kwa taifa letu!! RIP Amina!! Tulimpenda lkn Mungu amempenda zaidi!! Poleni Familia ya Amina, Ndugu wote, marafifiki zake na watanzania wote kwa ujumla!! Mungu aipumzishe Roho ya Marehemu Amina Chifupa Mahala Pema Peponi Ameni!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 28, 2007

    Nimesikitishwa na kifo cha ghafla cha marehemu mheshimiwa Amina Chifupa, inasemekana ni malaria ndio imemuua. Lakin toka tarehe june 8 anaumwa asipate nafuu hakukuwa na utaratibu mwingine wa matibabu? Mbona wakubwa wengine wanapelekwa nje ya nchi kwa matibabu kwanini si hivyo kwa marehemu Amina Chifupa? Wananchi wengi wanahisi kuna jambo lingine lilofichwa kuhusu kifo ckake, hivyo ni vizuri mwili wa marehemu ungefanyiwa autopsy ili kuhakikisha kifo chake ni kwa mapenzi ya Mungu. Haki zetu ziko wapi. Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pemapeponi, Amen.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 02, 2007

    INA LILAHI WAINA ILAHIM RAJIUN poleni sana Wazee wa Amina, ndugu jamaa,na marafiki wote wanaomuhusu marehemu amina, nafahamu fika ni wakati mguu sana kwenu nyinyi wafiwa mola akupeni moyo wa sub-raa na wakumshukuru daima maana ni kazi yake na hapingwi na daima atakuwepo miyoni mwenu, na ndugu zangu watanzania wote kwa ujumla poleni sana kwa kifo hichi cha mpendwa wetu amin. mola amlaze roho yake mahali pema peponi amin.
    lakin nina swali, hivi siku hizi waislamu huko nyumbani kwa maendeleo tuliyonayo huwa tunazikwa katika masanduku kama wafanyavyoo wakiristo. naombeni wadau wenzaku au michu unifahamishe maana nilishanda nilivyoona hili sanda limekaa kama sanduku . nataraji kujibiwa ili nifahamu kama nyumbani mambo yote siku hizi ya kizungu zungu ...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...