Issa - Pole na kazi na hongera nyingi kwa kazi nzuri unayofanya.Hii picha nilipiga kigoma, wiki iliyopita siku ya ijumaa kuu.
Huko, shirika la ndege linalotoa huduma in moja tu, nalo in precision na ndege iko moja tu kwa siku. Huko bwana mtu hawi na uhakika wa kuondoka mpaka anapokuwa tayari kwenye ndege. Ukizubaa TU, umelala.
Ingekuwa vizuri sana kama ATC na Community air wangewekeza huko, manake watumiaji wa usafiri wa ndege ni wengi sana, na kwa kweli Kigoma imesahaulika kabisa.
Kazi njema
Mdau Jay
Kwa hiyo Waha wataacha kudandia treni kuja dar na watakuwa wanadandia ndege ama?
ReplyDeletecommunity air imesha kufa, Anthony Dialo anadaiwa ile mbaya.Hivyo dont even think about.
ReplyDeleteMfanyakazi community air.
Community ndio the best ndege in the country,
ReplyDeleteYaan wana ndege kibao kias cha kwamba ukichelewa hii unapata ingine,
Tatizo linalowaangusha wana -Pw ni viwanja, vingine vibovu, vingine havina taa, vingine vidogo, yaan ilimradi ni bugudha tu,
|Lakin wanajitahidi sana