kabla na baada akiwa njiani kurejea dar toka dom baada ya kikao cha bunge


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 22 mpaka sasa

  1. Birthday boy angalia usijekutana na nanii Mfalme wa mwituni/nyika.

    ReplyDelete
  2. MAALIM ISSA TUNASHUKURU KWA “JUHUDI NA MAARIFA” KATIKA KUTUPASHA HABARI. NAONA UMETOKA “KUJISTIRI” HALA HALA YAHE NASIKIA KUNA “JANI” LAITWA “UPUPU”.

    INASEMEKANA “MSAFIRI KAFIRI”
    (DONT TRAI THIS AT HOME)

    “BINAMU” ALIPATA “DHARURA” KAMA HII…BAHATI MBAYA SIO MTAALAM WA “ MAJANI PORI”… UZURI NI KWAMBA, KULIKUWA NA “TEMBO” AU (MVINYO) KWENYE GARI…NA “TEMBO YALEWESHA”… BAADA YA MATUMIZI , NANIHII “IKALEWA”….

    ReplyDelete
  3. Mhhhhh!! Nilifikiri tabia ya kunya machakani ilikwisha!! kumbe wadau bado wanaiendeleza. Nipo hapa Houston, nikienda safari za Dallas kuna vyoo vya umma kila kilometa 12 ama kweli kwamama tambarare

    ReplyDelete
  4. sasa mjomba,rutuba ingine imebaki,maana sijaona umebeba toilet paper

    ReplyDelete
  5. na kweli mamtoni rest areas kibao mkuu wa wilaya hii sukumia bungeni angalau wasafiri wawe na sehemu za kujisaidia.

    ReplyDelete
  6. Mambo ya Shake well after use!

    teh teh teh teh teh teh ......

    Sasa ustaadh mbona unafanya shughuli bila nyenzo muhimu ya kutawadha? Noma Maalim Issa!

    ReplyDelete
  7. ni ustaadhi huyo hatumii toilet paper, hivyo hapo jibu unalo!

    ReplyDelete
  8. Looh kaka michuzi umeniacha hoi, haya nambie unatoka wapi ka sio kunanihii, anyway najua ulikuwa na chupa ya maji ya uhai kwenye mfuko so yalikusaidia, heheheheheh nice photo

    ReplyDelete
  9. Michuzi, natumaini ulikagua eneo kabla ya kuchuchumaa kuhahikisha hakuna nyoka!

    ReplyDelete
  10. MICHUZI TUMBO LILIMSHTUA KIDOG,MAPOCHOPOCHO YA DODOMA HAYO...SASA HATA MAJI HUNA,WALA TOILET PAPER,SI UTANUKA VIBAYA KWENYE GARI!!

    ReplyDelete
  11. michuzi umenikumbusha kitu ambacho nilisha kisahau, nakumbuka hata mabasi yalikuwa yakisimama ili watu waende kujisaidia maporini, cha ajabu ni kwamba mpaka leo jamani serikali haijaweza kujenga sehemu kwa ajili ya hiyo shughuli?.Huku kuna sehemu maalumu zimejengwa zinaitwa rest area kuna vyoo hapo na sehemu kubwa ya parking kwani ukichoka kuendesha unapark unapumzika na hata kulala ukitaka, na hizi sehemu zipo kila baada ya kama mile 40 hivi. hayo mambo ya kujisaidia maporini kwa wenzetu wenye maumbile tofauti wanawezwa hata kuingiwa na wadudu na kwa wale machangu/milupo/vicheche hata panya buku anaweza akapata upenyo

    Mbega

    ReplyDelete
  12. kaka uchafuzi wamazingira tunategemea wewe ndiye ulipaswa kukemea hilo

    ReplyDelete
  13. MJOMBA MICHUZI YULE SIMBA WA MIKUMI HACHEZI MBALI.OOOH! MUULIZE MJENGWA ANAMFAHAMU SANA.

    ReplyDelete
  14. We unayesema mzee wa Houston, Kwa mama hakuna sehemu yoyote inaitwa Houston...sasa sijui uko Houston ya Mtwara au?

    Kwa baba ndo kuna Houston

    ReplyDelete
  15. Jamani, msimsumbue Michuzi. Kuchimba dawa ni mila na desturi tunaposafiri masafa marefu barabara za Bongo. Inaonekana nyinyi mnaomsumbua Michuzi hapo ni mafisadi ambao usafiri wa hizi barabara hamuujui. Nyinyi ndio mafisadi mnaounguza hela zetu kwa kuruka na ndege kila siku.

    ReplyDelete
  16. Ka Michuzi umeenza we mwenyewe uchokozi. Sasa kwa nini usituonyeshe jinsi unavyokaa wakati wa kunya? Pia ningeomba utuonyeshe nanihii yako kama wanavyofanya watu wa Utamu! Nina ku-mind wewe! Wadau wote wa hapa UK tunakusubiri urudi kwa Mama tukupe vitu murua.

    ReplyDelete
  17. michuzi umenanawa mikono lakini au !!!!

    ReplyDelete
  18. Jamani ehh michuzi kaenda kuwekelea mbolea hajachafua mazingira hahahaha......

    ReplyDelete
  19. Nilipokuwa Zimbabwe kwenye safari basi ilisimama na abiria wakiwemo wazungu walishuka kwenda kujisaidia kichakani. Nilipokuwa Jamaica kwa ndugu zangu upande wa mama, hivyo hivyo. Na hata hapa Marekani kama hakuna toilets utaona watu wanajisaidia pembeni mwa barabara. Ila hapa USA ole wako ukamatwe.

    ReplyDelete
  20. Maji ya uhai ndogo au shake well after use sio suluhisho, kuna njia nyingi mbadala za kujistiri allah amezibainisha kwa ukosefu au dharura, ikiwemo kustanji kwa ukosefu wamaji au kutayamam, kwa wale wasomi wa dini ya kiislam tunafahamu hilo.

    ReplyDelete
  21. fulanaaaaaaaaaaaaaaaaaaz naiona inakatiza kutafura miti shamba !!

    ReplyDelete
  22. THIS IS NONSENSE, LENGO LA HII PICHA NI NINI SASA. COZ IT DOESN’T ENTERTAIN NOR EDUCATE.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...