Habari Mkubwa,
Naitwa Francis, nafanya kazi hapa Music Mayday kama Program Assistant. Pia nafanya kazi kama reporter wa website ya Ghetto Radio ambayo inaendeshwa na Ghetto Radio Foundation iliyoko Uholanzi.
Nahitaji Msaada wako ili kuweza kutangaza website ya Ghetto Radio
Naitwa Francis, nafanya kazi hapa Music Mayday kama Program Assistant. Pia nafanya kazi kama reporter wa website ya Ghetto Radio ambayo inaendeshwa na Ghetto Radio Foundation iliyoko Uholanzi.
Nahitaji Msaada wako ili kuweza kutangaza website ya Ghetto Radio
iweze kufahamika na watu wengi zaidi wanaotembelea blog yako ndani na nje ya nchi.
Naomba ui-publish newslater ambayo nimeambatanisha pamoja na e-mail hii. Pia naomba uiweke link ya website ya Ghetto Radio katika list ya link zilizoko kwenye blog yako.
Ghetto radio Mtandao ambao unalenga kuonesha utajiri wa utamaduni wa kisasa wa kiafrika wa watu wanaoishi ghetto tofauti na ilivyozoeleka kuoneshwa na vyombo vingine vya habari vya Ulaya na Marekani.
Tovuti ya Ghetto radio imesheheni habari kutoka majiji saba katika Afrika ambayo ni Dar es Salaam, Nairobi, Kampala, Harare, Johannesburg, Lagos na Dakar.
Natanguliza Shukrani.
Francis Moris Sampa
Naomba ui-publish newslater ambayo nimeambatanisha pamoja na e-mail hii. Pia naomba uiweke link ya website ya Ghetto Radio katika list ya link zilizoko kwenye blog yako.
Ghetto radio Mtandao ambao unalenga kuonesha utajiri wa utamaduni wa kisasa wa kiafrika wa watu wanaoishi ghetto tofauti na ilivyozoeleka kuoneshwa na vyombo vingine vya habari vya Ulaya na Marekani.
Tovuti ya Ghetto radio imesheheni habari kutoka majiji saba katika Afrika ambayo ni Dar es Salaam, Nairobi, Kampala, Harare, Johannesburg, Lagos na Dakar.
Natanguliza Shukrani.
Francis Moris Sampa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...