Home
Unlabelled
vijiwe vya dodoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Chakonichako ilikuwa baa ya mzee Mamuya na watoto wake kina Messe Mamuya na wengine sijui bado wanaimiliki au la kama bado hongera zao nyingi sana kwani ni kati ya baa za zamani sana eapoti.
ReplyDeleteMuddy
mwenye hiyo home ni mpenzi wa timu gani?
ReplyDeleteMichuzi asante sana, umenikumbusha mbali saaaana!.
ReplyDeleteBro Michu mimi nimezaliwa na kukulia Dodoma mpaka kumaliza elimu yangu ya msingi pale Dodoma Mlimani primary school.Sio siri hivyo viwanja vimekuwa kwenye chat kwa muda mrefu sana. nakumbuka hapo Wimpy ndio tulikuwa tunakwenda kununua koni wakati wa sikukuu nikiongozana na dada zangu nikiwa bwana mdogo sana enzi hizo na sasa nikaribia kufikisha miaka 30.
ReplyDeleteMkuu nashukuru kwa kunikumbusha zamahizo nawapa hongera uongozi wa hivyo viwanja kuweza kuwa kwenyebiashara kwakipindichote hicho.