Home
Unlabelled
juisi ya muwa zenji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ha ha ha ha, Michuzi hivi ni kweli kwamba ujumbe unaotuletea unahusu juice ya miwa?? sijaona "reception" ya huyo mwanadada... ila from this side anaonekana ni zaidi ya juice ya muwa unayoisifia kwa jinsi alivyo umbika!!!!!
ReplyDeleteMichuzi kwa kupenda totoz hujambo, yaani unazuga umeshikilia ka mrija kumbe unapiga hesabu za konozzzzz. Haya bwana jipendelee tu.
ReplyDeleteApfle
mzee na wewe kifulana hicho kila siku hebu kibadilishe
ReplyDeleteEh Mh Balozi, Kumbe ulikwenda na MTOTO wako?
ReplyDeleteMichu Mgongo huo mbona huuzungumzii???
ReplyDeletekaka michuzi nani huyo mbona anaonekana yuko chini ya umri,angalia kaka tunakupenda usije kuishia keko ya zenji.
ReplyDeletemugongo mugongo?
ReplyDeletehahahah wewe Michuzi hujatulia kabisa, sasa ndio mambo gani ya kuwapiga watu picha za migongo. Au kwa sababu uko Zenji ndio ukaamua kubonyeza hiko kitufe cha kamera yako kizenji?
ReplyDeleteHaya Michu, naona umemficha sura. Hata hivyo anaonekana si haba ...... Waosha vinywa tupo ngangari.
ReplyDeleteonyesha bwana. mbona unamficha uso.
ReplyDeletemmm najua juice yenyewe iyoo pembeni,tena inakuonyesha upande wa juice
ReplyDeleteMh Sina Maongezi wino umekwisha kwenye keyboard Juice ya muwa na Juice ya..... James wa Arusha. angalia usije kurudi na ngalawa tu First class ikakushinda.
ReplyDeleteSasa hapo juisi ya muwa ndio ipi? ... maana Michuzi Kiswahili chako wakati mwingine unakijua mwenyewe na wadau wako.
ReplyDeleteHiyo fulanaz haipumziki au una ile dawa ya kupiga vita kikwapa? manake mpaka Dada yetu sijui wifi sijui Aunty kaamuwakugeuka fulanaaaaaaaaaaaaz.
ReplyDeletemkuu wa wilaya ya nanihii mbona nyumba ndogo imetupa mgongo ingekeuka tusije baadae ukatupa lawama kwamba tumeingia kwenye anga zako..tujuwane au sio nasi tupo zanj tusijekudhani si nchi ni nchi kwa mtazamo tofauti
ReplyDeleteHeee!!! we michuzi.Mbona wife hana kazi ya kukurekebisha! baada ya kumuona huyo binti kapozi hapo nawe ukajisogeza hapo hapo!!!
ReplyDeleteKaka Michuzi,
ReplyDeletembona waziba sura nyingine. :)
JUICE YA MUWA AINA GANI MKUU WA WILAYA,ZANZIBA MIWA AINA NYINGI ZTI, NA UNYWAPO UNAKUWA UMEKAA MZUNGU WA NNE KAMA HIVYO, WADAU MKAO HUO WA MZEE WA FULANAZZZZ UMEKAAJE. HIYO PICHA MAKINI SANA.
ReplyDeleteLAKINI MKUU ,UMBEA, NINI KIMEKUPELEKA HUKO ,UKAACHA UJIO MUHIMU WA HU JINTAO, AU NDO KAMA HIVYO?
KILA LA KHERI, USIWE KA MJENGWA, NASIKIA HAKATIKI BAGAMOYO.
We Michuzi, Ze Fulana's ana kaka zake (doubles) au yuko mwenyewe..maana kama ni kauka ni kuvae..kuna kazi..!!
ReplyDeleteMdau-CA, USA
Miye nimehusudisha huo mgongo...mgongo mgongo wa kufunga mbereko ha ha ha ha acha utundu michuzi
ReplyDeleteAngalia sana Michuzi, Zanzibar kuna wimbo unasema "watoto muwa wee watoto muwa, wanyonywa ulala"
ReplyDeleteWANAUME NI WATU WA AJABU SANA KWASABABU HIYO PICHA UMEPIGA USIKU NA NINA UHAKIKA MKEO ANGEKUULIZA MDA HUO UPO WAPI UNGEMWAMBIA NIPO KWENYE KIKAO. KWA HUO MDA HAKUNA MSICHANA MWENYE UJANJA WA KUKAA ENEO KAMA HILO NA MTU ASIYE NA UHUSIANO NAYE, SITAKI KUAMINI KWAMBA ULIMUACHA AENDE ZAKE HUYO BINT MAANA ANAONYESHA ANA RADHA NZURI KWA WAKORA.
ReplyDeleteCOPY.-MAMA MICHUZI
-OFISINI KWAKO
Tena mlivyokaa inaonekana huyo dada ulmkuta kakaa na wewe ukajibanza pembeni yake, juice ya miwa mpaka ukakae hapo kwenye kibenchi?
ReplyDeleteBalozi wa Zain,nimekukubali.
ReplyDeleteUkirudi jiandae na dozi ya typhoid
ReplyDeleteMamaa weeeee, ebu wadau pitisha macho kati ya muwa wa Michuzi na kichwa chake mtaona kuna jamaa naye kwa staili ya aina yake kakaa na wifi kwenye kakichaka, hapa kweli hizi juice za miwa zilipona. Michuzi shauri yako maana my wife wako akiona taswira hiyo hataamini kama ilikuwa juice ya muwa inanywewe bali kulikuwa na jingine pamoja na yule jamaa yko wa ng' ambo kichakani
ReplyDeleteMichuzi wewe ni babkubwa!!! stress zote zimetoka baada ya kuona na kusoma toka kwa waosha vinywa wenzangu.
ReplyDeleteAma kweli burudani si lazima uende Ngwasuma hata hapa kwenye 'globu' yetu ya jamii ipo tena kushinda nanihiiii
Mheshimiwa Balozi wewe fundi sana, angalia umetia mrija ndani ya glass huku unasikilizia utamu kwa mbaaali
ReplyDeletekwa mbele yake hapo ndo kwa muuza juice kwahio mteja yeyote anakaa ktk kibenchi sio mbaya kuka jirani na mtu usije mjua ati kwani si ndo mwanzo wa kujuana eboooo hiyo juice ya miwa imenikumbusha mambo ya tanga mkuu na soda ya Anjari na Heltho mambo ya mwambaoz na toto kama hizo hakulaliki
ReplyDeleteMMMHHHH????????
ReplyDeleteHATA MIE NAONA MUHESHIMIWA.
MMMHHHH????????
ReplyDeleteHATA MIE NAONA MUHESHIMIWA.
MMMHHHH????????
ReplyDeleteHATA MIE NAONA MUHESHIMIWA.
aa-salaleeeee!!!yalabi toba michuuu ze "mrija wa juice ya muwa" hahaahaaa dah
ReplyDeleteyan leo stress zimeisha hahahaha
tena iyo nayoiona apo usoni kwako ni nini?TABASAMU AU,LA NINI??AFU VIPI TENA IYO MIGUU KUIKUNJA IVO?hahahaaa teh teh teh
michu utulivu F,mkuu kweli wee mwisho
dah
mbona kuna nafasi apo pembezoni mwa mamaa katika benchi??mbona mebanana ivo,ze mikonozzzz nini?
ReplyDeleteannon apo juu yan pamoja na amoeba eshapata
kaka mithupu si utudokezee huyo hapo kwenye benchi ni nani unaefaidi nae juice ya miwa? tunahamu ya kumjua kabla mama mithupu hajacharuka.
ReplyDeletedadako.
MY GOOOOD!!!!! ZE MRIJA, ZE JUICE, ZE KONOZI AU ZE MGONGOMGONGO????????????
ReplyDeleteANYWAY NDO MAMBO YA ZENJI KA YA LAMU VILE,, BUT WAIT!!! WE SI FATAKI KWELIII, IS SHE NOT UNDER AGE????????? POTELEA MBALI UCIKU AFAMYA NINI MITAANI JILIE TU USIKOMBE MBOGA MITHUPU......
MDAU BONGO.
tatizo lenu nyinyi watu humu ndani sio wanywaji wa juice ya miwa
ReplyDeleteukienda kununua juice kuna benchi na unakaa popote pale unapotaka na unageukia popote pale, sasa michuzi hamjui huyo aliyokaa na wala hataki mazungumzo nae ndio maana amengalia kwingine. kama mtu hataki mazungumzo na mtu haina maana akae mbali nae....
hiyo ndio tafsiri yangu ya picha hii
mtajiju msio kubaliana nami
Bro Michuzi sio kwamba tunakuonea ama tunataka kusambaratisha ndoa. Kinacholeta utata ni huo ukaaji katika hiyo picha. Nikiangalia upande wa kushoto wa huyo kuna nafasi kubwa sana ya kukaa. Iweje wewe uje kujibana hapo pembeni mpaka unataka kuanguka? ....oohoooo! samahani,kumbe huyo dada ni yule mpiga picha mwenzio wa gazeti la nanihii.....Samahani mama Michuzi kwa kukupandisha presha,nilikuwa sijamuangalia vizuri huyo dada maana ametupa mgongo.
ReplyDeleteMdau
Cardiff
mbona hujibu maswali huyo pembeni ni nani? mi nasubiri ageuke....
ReplyDeletesasa michuzi! hii juice ya miwa? huyo mshirika mwingine mbona katutupia mgongo au kisogo? au ndio mambo ya Zenji!
ReplyDeleteMona yule mtoto wa waziri Wasira alipovaa ovyo kama wewe kwenye picha hii watu walimpiga na vijembe?
ReplyDeleteMUGONGO MUGONGO STYLE........
ReplyDeletePalepale kwa jana!!
ReplyDeleteUkishindwa kulipia hiyo juice ya muwa watakuzungusha nyuma halafu utapara miwa weee hadi pesa yao sawasawa na kiasi cha juice uliyokunywa imerudi
ReplyDeleteKaka inaonekana uliimba mashairi ya busara hadi sauti ikakwama ukaamua kuifufua kwa maji ya miwa. Nakubali mtoto kaumbika kama akikataa mwambie wewe ni Mkuu wa wilaya ya nani hiii na Balozi wa Zain akisikia hivyo tu atakubali si unajua wasichana wa kibongo watafikiri wewe ni Pedeshee kumbe duh.
ReplyDeleteMBONA KAMA MICHUZI ANA HIPS AU MACHO YANGU?ALAFU KAMA VILE ANAMTOGOZA DADA HAPO NAYE ANAMLETEA POZI.HAHAHAHAH
ReplyDeletenaomba mnitoe changa la macho mademu waitwa juice ya muwa siku izi? namaliza kamusi sipati kusudio la picha!! kama mambo yas taswira basi hii ni ya mwaka juu inasomeka mara 70 duh!!! hoi
ReplyDeletemithupu... haki elimuuu!!!
ReplyDelete