leo ilikuwa siku ya mikonozzz baada ya kupata fulanazzz mpya. hapa nanihii akiwa na wadau wakuu wa kundi la Wahapahapa pamoja na che mundugwao (kulia) coco beach
kila kona ilikuwa ni mikonozzz na fulanazzz tu
kila kona ilikuwa ni mikonozzz na fulanazzz tu
nanihii akiwa na lady jey dee na mai hazbendi wake keptein gadna G. habash
Captain G huwa mi simuelewi akipiga picha na wife huwa anakaa mbali na kununa juu.lakini akiwa anapata shop na vicheche yaaani kucheka mpaka jino la mwisho na kuwahug juu.
ReplyDeletempende mkeo na one way to show ni kuwa proud nae
Kaka Michuzi eeh, Recho sio mdau wa ughaibuni tena, ni mdau wa bongo.
ReplyDeleteoh yeah Chidumule. Wow hawa watu wanatakiwa wawe kwenye hall of fame, museum, post mpya walk of star or somthing like that. Nikiwa mdogo huyu utasikia nyimbo anataja jila lake chidumulle. Love the guy
ReplyDeletekaka michu, naona unga huo unakolea kichwani, wapi pico kaka
ReplyDeleteMmmmmh ndio tuelewe Michuzi peke yake ndio anapenda kucheka au vipi? Mbona kaka Gadna amenuna sana utafikiri sanamu limeegeshwa??? Hata smile kidogo jamani. Ukiwa na mkeo onyesha furaha kidogo japo.
ReplyDeleteTatizo la wabongo wakiwa na matatizo hata ya familia wanapenda kuyaonyesha kwa watu.
kheeeeeeeee
ReplyDeletekumbe ndo nyie power-breakfast
ok
Duuuuh Kumbe ndiye Babra....... Mhhh Ckujua uko ivo....
ReplyDeleteBitchuka www.youtube.com/ milimani park orchestra - mseto wahapahapa video, a must see master class video from the legend Hassan Bitchuka, Shabaan dede & co, bravo Wahapahapa production.
ReplyDeleteMbona huyu nanihii wa Columbus na nanihii wa UK wanaendaga likizo Dar wakati mmoja? Nime-note hii kitu, naombeni jibu kama mnajua.
ReplyDeleteSalama uko juuuuuuuuuuuuu, aminia masela wangu
Balozi,
ReplyDeleteHuyu Che Mundugwao vipi siku hizi simsikii ktk anga za muziki au ala za muziki kazitundika ukutani?
Duuuuh Kumbe ndiye Babra....... Mhhh Ckujua uko ivo....
ReplyDeleteUlidhani yukoje? Kipotable ama?
Kumbe mnaomtaka Gadna mko wengi? poleni he is taken hi hiiii. hilo ndio pozi lake
ReplyDeleteDuuh yaani hata mimi sikujua Barbra yuko hivyo sauti yake ni contrary na yeye alivyo miss bantu.Nilikuwa napata picha ya ka-model fulani ka kiarabu hivi juu ya hilo jina.
ReplyDeletedah nimekimiss kweli kipindi cha njiapanda nilikua sikosi kila j2 .
ReplyDeleteangalau leo ume-mikonozzz wanaume wezio japo khaaaa
ReplyDeletemaana uliaza kuntisha mie na kinadadazzz mikonozzz
hahahaaaa
sebastian ndege
ReplyDeleteeti wee ulisomeaga kidogo udaktari pale MUCHS???
ni hayo tu kaka
Kwa Wadau siriazi, legezeni kamba:
ReplyDelete*Mgonjwa*: Daktari naumwa sana na moyo na najisikia kufa kufa tu.
*Daktari*: Wewe ni mpenzi wa timu gani ya mpira wa miguu?
*Mgonjwa*: Kwa Tanzania mimi ni shabiki wa Simba na Ulaya mimi ni mpenzi wa Liverpool
*Daktari*: Na unafanya kazi wapi?
*Mgonjwa*: Nilikuwa nafanya GTV, baada ya kufa nikapata kazi Paradise Hotel Bagamoyo.
*Daktari*: Una akiba yoyote ya fedha benki?
*Mgonjwa*: Ndiyo, akiba yangu yote ya fedha ipo DECI.
*Daktari*: Mmmh, unaishi wapi?
*Mgonjwa*: Naishi mbagala karibu na kambi ya jeshi
*Daktari*: Subiri kufa maana hakuna tiba mbadala ya maradhi yako.
Mdau
Miyeyusho
huyo barbara mbona kakaa kimbagala sana utadhani kakoswa na bomu. Kweli huku kwetu media hazichagui
ReplyDeleteTunaomba utuonyeshe picha za mikonnnoooooooozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz na Loveness Love (Diva)wa Ala za Roho
ReplyDeleteMh kumbe ndio hao wa breakfast!!! Jamani tusemeni ukweli Sauti za watu unavyozisikia na watu ukiwaona ni sawa na -ve na +ve ukiziweka pamoja.
ReplyDeleteDuh hapo wa miwani meusi!!! Kaka Michuzi tuambie na wewe sikuizi umeanza kutembea na Bouncer???? Hakuna mchezo hapo ngoma imeshiba.
ReplyDeleteHuyu Barbara nili piga picha ni demu fulani mwembamba, halafu mweupe .
ReplyDeleteHuyu JP na ye kazidi uboshoo kila s iku anataka kujulikana katoka USA, hawa watu wanao enda USA wakiwa watu wazima wana matatizo sana. sijui angeenda baada ya kumaliza High school na dhani asinge jishebedua hivyo.
Na wewe mbeya uliye sema eti JP na huyo sijui Model sijui ,machozi video ,sijui Gonga Wear , eti wanakuja pamoja Bongo una lako jambo ..lol.
Rachel nilikuoan kwenye Kilimanjaro Music Awards nilikuona mzuri , mana ume coppy mademu wa kiulaya wanavyo tembea nilikuzimia sana.
Hii familia ya Habash ina matatizo, hebua ngalia hapo, Gardner kanuna , halafu ukicheki Body language unaona huyo Lady JD kamuegemea zaidi Michuzi, hii ndoa ina tatizo lazima .potelea mbali lady JD ukiniimba eti nakuuliza utaachika lini, ila ukweni ni huo lazima mko kwenye crisis!.Angalai wenzenu Rachel na huyu JP , wameeegemeana hapo lazima kuna kitu kinaendelea .
jamani tunaomba picha ya LOveness Love, ila kama halipi naomba usimweke ni bora tubaki na imagination kuliko kumuona maana ile sauti usiku inatukata maini na kutupandisha mzuka huku tukiimagine demu alivyo , sasakama sio kama tunavyo dhani michuzi please usiweke picha yake maana utatuharibia some lonely nights zetu .
Mimi nadhani Loveness Love ni demu mmoja mwembamba mrefu na ana nywele ndefu ,maji ya kunde na ana macho ya kuvutia na uso wake ni mwembamba kama wa Kitusi. sijui nimepatia?
Pia Michuzi , ningependa kumjua yule mtangazaji wa sijui redio Moja ya Mwanza , jamaa huwa ananiacha hoi , maan huw ana fake American accent mbaka kupitiliza , ukisikiliza news akisoma una weza usielewe neno maan kila kitu ana weka "R" , yani ile kimarekani kipitiliza, mafano neno "Africa" yeye ana sema "Africare" mbaka ana bore kinoma please tupe picha yake.
Pia kuna Mwingine yuko East Africa FM , yeye huwa anatangaza Michezo, yani huyo ana fake British Accent ,Mungu wangu ukimsikiliza ana sound kama a drag queen, yani utadhani Rupaul in a fake british accent anatangaza , pleease naomba pia picha yake.
hahahahahaaaa kwi kwi kwi
ReplyDeleteheeeeeee tobaaaa navunjika mbavu
jaman kuna annons umu ndani wana-visa vya kufa mtu
sasa annon 6.10 AM-umenifanya ofisi zima waniulize kulikon???
dah watu mna imagination kali kishenzi,ila uyo jamaa na accent yake ya kimarekani ata me nshawai jiuliza ANAFAFANAJE???
asante
jump around nimekukumbuka sana !! enzi za UDSM.. heheh thm were the days.. DR Seba naona umeamua kufa na Man U umeweka msisitizo
ReplyDeleteanon unayeongelea fake accent, i think this problem is not only in the media but also around us... as in everywhere, i am so tired of those who are faking it, why fake it? flaunt it, say it like it is...aagh i have done my share of interviews and i get so sick i can spit on them accents..girls be real because girls like faking it, when you fake it, we can smell its fake 1km from where you are.. being real and true to yourself and being is the only way to emancipate yourself from mental colonialism...if the society has seen it fit to feed your big ego with fake products dont slaunter them to real people.. practise them to your fake being... nuff said !
Annon 9:30 am
ReplyDeleteHehehehehhe natumaii unakubaliana na mimi ile American accent imezdi kupita kiasi mbaka ina bore maana ana zidisha sana,halafu akisoma news ndio kabisa ana haribu kupitiliza.
Huyu Mtangazaji na hisi ni atakuwa biracial .
KAKA MICHUZI NILIKUA NAOMBA USIKILIZE KILIO CHETU SISI WANAFUNZI WA MWAKA WA KWANZA WA KITANZANIA TUNAOSOMA NCHI ALGERIA.
ReplyDeleteKUMBE UFISADI HUANZIA MASHULENI NA SIO MAOFISINI.ALIEKUA KIONGOZI WA WANAFUNZI AMEKULA POSHO YETU AMBAYO TUNATAKIWA TUPATE KILA MWAKA!!
AMECHUKUA POSHO YETU YOTE YA MWAKA NA KUTUACHA HATUNA PAKUKIMBILIA,HATUNA PAKUSHITAKI MAANA TUMESHAFIKISHA HII ISSUE UBALOZINI UFARANSA,WIZARANI LAKINI INAPATA MWEZI SASA HAKUNA HATUA YOYOTE ILIYOCHUKULIWA.
INASEMEKANA HUYU JAMAA ANAMTANDAO AMBAO UNAMLINDA HUKO BODI NA WIZARANI NA NDIO MAANA AMEWEZA KUINGIA MITINI NA MAMILIONI YA WANAFUNZI.
KAKA MICHUZI KAMA NA WEWE NI MZALENDO WA KWELI UNAEPINGA UFISADI USIJE UMIZA WATOTO WAKO NA WATANZANIA TUNAOMBA UIWEKE HII SCANDAL PEJI ZAKO ZA MBELE KABISA ILI MHESHIMIWA RAISI WA TANZANIA ASIKIE KILIO CHETU,TUNAJUA MHESHIMIWA ANASOMA HUU MTANDAO,HATUNA WAKUTUSAIDIA JAMAA ANATANUA NA MAMILIONI YETU MTAANI NA WAPAMBE WAKE WANATUTOLEA NYODO.
HII SCANDAL IMESABABISHA TUWATOE MADARAKANI YEYE NA MAKAMO WAKE BI ADELAID.
HUYU JAMAA ANAITWA RUGE.
CHONDECHONDE KAKA MICHUZI TUSAIDIE IKIWEZEKANA ITUME KWENYE MITANDAO MINGINE NA MAGAZETI.
TUTAZIDI KUA NA IMANI NAWE UKITUSAIDIA.
teh teh teh
ReplyDeleteannon 11.00pm
ni kweli,me siku ya kwanza nkasema adi silali nisikie mwisho wake avotangaza labda ni mwanzo tu ataacha,kumbe duh ndo mtindo wake hahahahaaa,afu adi akiongea kiswahili anaweka ivoivo,yan niko mwz adi ntamtafuta,afu ntampiga PICHA kisiri naitundika umu blogun.
nimeacha kabisa kusikiliza ile kipindi siku ya pili yake tu,soooo boring soooo fake,utumwa ule!
hahaaaaa
na wewe denti njaa wa ALGERIA nini?
ReplyDeleteebu tupishe umu,kila sehemu unabandika irrelevant news yako bwana??ebu nenda kalie uko,apa hatuna msaada OKKKK!!
hakuna pesa ya sirikali inayoshuka kirahiisi ivo,nimekujib tu kupunguza ukali wa wabeba box wanaporudi toka boxes zao...
beba box kwisha kazi,
Jambo kwenu,
ReplyDeleteninavyokumbuka mimi nanihii ni mtu wa kucheka/smile kwa kwenda mbele hata kama yuko peke yake, that is y huwa unajihisi unamfahamu tangu ukiwa cheichei!! keep it up Nanihii.
hey Salama study hard kisha personaly nakumis BSS, kifoundation haiko alive - gap inaonekana live. dont change your signature(kucritisize where it belongs)
SMILE IS LIFE