kiongozi wa kundi la Wahapahapa Paul Ndunguru aki-rap wakati mashabiki wakiwa wamevamia jukwa leo katika shoo kabambe ilofanyika coco beach, dar
coco beach palikuwa hapatoshi katika shoo ya wahapahapa
coco beach palikuwa hapatoshi katika shoo ya wahapahapa
bob zungu akiwajibika na wahapahapa
Bongo tambarare.
ReplyDeleteBalozi, ule mtundiko wa video ya Milimani Park Orchestra - Mseto Wahapahapa video, hutaki tuufaidi ktk bulogu ya jamii?
ReplyDeletehebu nenda www.YOUTUBE.com / milimani park orchestra - mseto wahapahapa video, wabeba box nasi tufaidi kwa kutumia teknohama maana makaratasi yetu hayaturuhusu kupanda ndege tuje CocoBeach.
Mbeba Box Mwandamizi
USA
wa hapahapa wanatisha, wako juuuu
ReplyDeleteBongo tambarare, what u mean?
ReplyDeleteBob Zungu si mchezo, kweli anakubalika kwenye fani.
ReplyDeleteMahana yake BONGO hakuna visiki(vichuguu) vya kuwazuia watu kuburudika,Sio kama kwa wenzetu wanapo beba box.
ReplyDeleteI`m just think.
paul hongera sana,nakumbuka kule tuliko toka,keep up a good job.
ReplyDelete