sehemu ya shule ya chekechea na msingi ya Tusiime iliyoko Tabata jijini dar ikiwa na wanafunzi takriban 510 ambao ni pamoja na 90 wa bweni. wikiendi hii shule ilikuwa na siku ya wazazi ambapo michezo na utamaduni vilioneshwa na wanafunzi hao. pia kulkikuwa na mahafali ya wanafunzi waliomaliza chekechea na darasa la saba, kabla ya wazazi kukabidhiwa ripoti na kuwaruhusu kwenda likizo ndefu ya funga mwaka
wahitimu wa chekechea wakila tunondozzz twao
wahitimu wa chekechea wakisubiri tunondozzzz
wahitimu wa chekechea wakila tunondozzz twao
wahitimu wa chekechea wakisubiri tunondozzzz
wahitimu wa darasa la saba shuleni hapo
Michuzi, hawa jamaa wamekosea namba zao za simu. wameweka 011-255, wakimaanisha/kudhani mpigaji atakuwa yupo North America, USA, Canada, Bermuda na Antigua au Australia walio na prefix ya 011. Nchi nyingi duniani leo wanatumia 00, na chache zina namba zao kama Japan, Singapo etc. kwa hiyo washauri watumia +, inayomanaanihs a'unspecified' number of digits for a internal prefix code. Soma zaidi:
ReplyDeletehttp://en.wikipedia.org/wiki/List_of_international_call_prefixes
Mdau UK
KIJANA WETU, YAANI MWANETU? BONGO SI SIRI NI TAMBARARE. MAMBO YAKO SWAFI.
ReplyDeleteHongera sana Tusiime kwa mafanikio yaliyopatikana, inatutia moyo wengi tulioko nje kuona kwamba kuwa kuna Watanzania ambao wamewekeza kwenye elimu na mafanikio yake yanaonekana kwa kuhitimisha vijana wetu.......!!!
ReplyDeleteHongera sana Mr & Mrs Katagira keep it up
Brekingi nyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!
ReplyDeleteTaifa stars yapigwa bao mbili yaiiiiiii, hii taarifa kutoka kachumbali blog!!!!!
Hongera kwa Tusiime Management, Staff, Students and other stakeholders for making Tusiime stand the way it is..................Keep it up!!!!
ReplyDeleteLet us make our Tusiime be a Trend Setter and others Follows
Baba Mitu in Cardiff, UK
Shule na website imetulia sana lakini hawajaweka Tuition and boarding fees tukaona . Wengi tuna watoto na ningependa wajue culture yangu so kusoma Tz kama miaka miwili ni muhimu sana.
ReplyDeleteHii ni charter school au ni private school. Nilikua na soma get involved page wanonyesha kama vile wanahitaji donation so and so... I am just curious....
ReplyDeleteHONGERA MICHU! MWANAO KAKUA
ReplyDelete