Home
Unlabelled
CHADEMA waendelea na Operesheni sangara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Zungukeni tu na hilo tuku tuku lenu, ikifika wakati wa uchaguzi mnahesabu maumivu. Si kila anayecheka anafuraha
ReplyDeletembona watoto watupu,alafu eti hapo wanamchafua kilango kisa amefanya kampeni moshi mjini,yani ukimsema ndesamburo lazima aje jimboni kwako kulipiza,coz ndo mwenye helikopta,chadema mnazidi kufilisika kisiasa,angalieni msije mkaishia kama tlp,chama bila mshahara hakiwezi kufika mbali,ndo maana cuf wamewapiga bao kwenye serikali za mitaa,hiyo hela ya helikopta mngeipeleka kwenye ofisi zenu za wilaya na vijiji,marehemu wangwe alipiga kelele lkini wapi.
ReplyDeleteCHADEMA = CHAga DEveleopment MAnifesto.
ReplyDeleteHiki chama kina sera za chini kwa chini za kuendeleza wachaga.
Marehemu Chacha Wangwe aliwahi kuliongelea suala hilo, wakamkolimba.
Mbowe endelea kutesa na hiyo chopa, ila Ikulu sahau.
Hiyo Biashara ya Wachanga. Tanzania tupo smart kuliko Ujinga wa Chadema! Angalia mnyika na huyu wa juu wote toka Mlimani! Nyerere aliua mzizi wa Kikabila lakini walau tunajua hata nyinyi naganga Jnaa tu. Naona Mnyika ulitubia umati wa watoto wa shule ya msingi
ReplyDeleteAcheni mambo ya kipuuzi na kujaribu kuwapotosha wananchi kuhusu chama cha chadema. Hawa jamaa wameamua kuleta mabadiliko ndani ya nchi, hatuna wajibu wa kuwaunga mkono.
ReplyDeleteHakuna vyama vya makabila hapa Tanzania. Sorry kama comments zangu zitakuwa zimewaoffend
Kazi nzuri CHADEMA wenye wivu wajinyonge
ReplyDelete