MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Shadya Karume akiangalia meshine maalum ya kuangalia Vijidudu wa Maradhi katika Hospitali ya Kuu ya Mnazi Mmoja wakati wa uzinduzi wa Chumba cha Upasuaji wa Koo, Pua na Sikio Hospitalini hapo
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Shadya Karume akimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Upasuaji Dk. Nofal Kassim wakati wa ufunguzi wa chumba kipya cha Upasuaji wa Koo, Sikio na Pua katika hospitali ya Taifa ya Mnazi Mmoja.
Picha na mdau Othman Maulid Mapara wa Zenji
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Shadya Karume akimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Upasuaji Dk. Nofal Kassim wakati wa ufunguzi wa chumba kipya cha Upasuaji wa Koo, Sikio na Pua katika hospitali ya Taifa ya Mnazi Mmoja.
Picha na mdau Othman Maulid Mapara wa Zenji
Huyu mama huwa nampenda sana jamani. Sasa sijui ana kabinti bado hakajaolewa. Wadau hebu nitonyeni?
ReplyDeleteABDI MUSHI - DUBAI
Sina uhakika zaidi ila kwa ninavyosikia juu juu ni kwamba watoto wake wameolewa labda wa dada au kaka zke km yule mh waziri wa nishati wa zenji.
ReplyDelete