Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akikagua athari za mafuriko yaliyovunja daraja la Gulwe na kakata mawasiliano kati ya Mji wa Mpwawa na eneo la la Kusini la Wilaya hiyo wakati alipotembelea eneao lililoathirika kwa mafuriko katika wilaya hiyo leo. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dr. James Msekella.
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akitoa maelekezo wakati wa kukakagua athari za mafuriko yaliyovunja daraja la Gulwe na kakata mawasiliano kati ya Mji wa Mpwawa na eneo la la Kusini
la Wilaya hiyo huku Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dr. James Msekella akimsikiliza kwa makini.
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akitoa maelekezo wakati wa kukakagua athari za mafuriko yaliyovunja daraja la Gulwe na kakata mawasiliano kati ya Mji wa Mpwawa na eneo la la Kusini
la Wilaya hiyo huku Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dr. James Msekella akimsikiliza kwa makini.
UHARIBIFU WA MAZINGIRA SASA UNATUGHALIMU, MATOKEO YA KUACHA WATU WAFANYE SHUGHULI ZA KIBINAADAMU NDANI NA KANDO YA MITO JAMBO LINALOSABABISHA MMOMONYOKO WA UDONGO NA KUPUNGUA VINA VYA MITO NA MINGIE KUZIBA KABISA HIVYO KUBADILI MKONDO.
ReplyDeleteMASIKINI PINDA SIJUI KAMA ANA HABARI KUWA HUKU DAR POLISI WANAWAPIGA MABOMU WANAFUNZI WALIOBEBA MADAFTARI! ZAMANI NILIAMBIWA UKIWA ASKARI HUTAKIWI KUTUMIA BUSARA TENDA KWANZA KISHA ULIZA KAMA UTARUHUSIWA.
ReplyDelete