Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania mjini Rome, Mh. Leonce Uwandameno(kushoto),afisa Utawala wa Ubalozi wa Tanzania nchini Italy, Mh. Salvator Mbilinyi (katikati), na kulia ni Katibu wa Jumuiya ya Watanzania Rome, Ndugu Andrew Chole Mhella
*************************************
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Roma Mh. Leonce Uwandameno pamoja na Katibu wake Ndg. Andrew Chole Mhella, leo asubuhi, tarehe 23 Juni 2010, waliwasilisha rasmi barua ya utambulisho wa Jumuiya ya Watanzania Roma kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Italy.
Viongozi hawa walipokelewa na afisa utawala wa ubalozi Mh. Salvator Mbilinyi. Itakumbukwa kuwa jumuiya hii ya Watanzania Roma, iliundwa rasmi mjini Rome tarehe 30 Januari 2010.
Moja ya malengo mengi ya uundwaji wa Jumuiya hii ni; kuwaunganisha watanzania wanaoishi Roma na sehemu zingine za Italy, ili kushikamana na kusaidiana panapo kuwa na furaha au tatizo la aina yoyote. Jumuiya inalenga kuhamasisha wanajumuiya ili waweze kuishi kwa malengo hapa ugenini na kupeleka maendeleo nchini Tanzania.
Jumuiya hii pia inalengo la kuwa chombo cha kuutangaza utamaduni na utalii wa nchi yetu hapa nchini Italia.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Jumuiya ya Watanzania Roma.
Kwa matukio mbalimbali yanayotokea hapa Rome, mnakaribishwa kwenye official blog ya Jumuiya
www.watanzania-roma.blogspot.com.
*************************************
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Roma Mh. Leonce Uwandameno pamoja na Katibu wake Ndg. Andrew Chole Mhella, leo asubuhi, tarehe 23 Juni 2010, waliwasilisha rasmi barua ya utambulisho wa Jumuiya ya Watanzania Roma kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Italy.
Viongozi hawa walipokelewa na afisa utawala wa ubalozi Mh. Salvator Mbilinyi. Itakumbukwa kuwa jumuiya hii ya Watanzania Roma, iliundwa rasmi mjini Rome tarehe 30 Januari 2010.
Moja ya malengo mengi ya uundwaji wa Jumuiya hii ni; kuwaunganisha watanzania wanaoishi Roma na sehemu zingine za Italy, ili kushikamana na kusaidiana panapo kuwa na furaha au tatizo la aina yoyote. Jumuiya inalenga kuhamasisha wanajumuiya ili waweze kuishi kwa malengo hapa ugenini na kupeleka maendeleo nchini Tanzania.
Jumuiya hii pia inalengo la kuwa chombo cha kuutangaza utamaduni na utalii wa nchi yetu hapa nchini Italia.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Jumuiya ya Watanzania Roma.
Kwa matukio mbalimbali yanayotokea hapa Rome, mnakaribishwa kwenye official blog ya Jumuiya
www.watanzania-roma.blogspot.com.
Haya ndio mambo tunayotyataka...Mbarikiwe sana huko Rome....
ReplyDeleteSmart people do the smart things
Mungu ibariki tanzania
Hao watu wa wawili kutoka kulia, wanaficha nini?
ReplyDeleteHaichekeshi... Watanzania tuwe serious jamani..Hawa ndugu wanafanya hahakati za kujenga taifa we ndugu unaleta utovu wa nidhamu..
ReplyDeleteMBONA JAMAA KAMA VILE WANAOGOPA?....SIJUI WANAOGOPA NINI...KUWENI NA CONFINDENCE JAMANI, NYINYI NI VIONGOZI...DUH
ReplyDeleteMbona CHIBILITI NCHUMALI hayupo hapo?
ReplyDeleteAmehama au amerudishwa Tanzania kwa kukosa MAKARATASI?
Mdau wa pili tar 24,June 04:33 nakuunga mkono kweli wanaficha nini hao makaka wawili?!Yule wa kwanza kushoto naye yuko kama anajihami.Basi alimradi wapo tu.Haya kila la kheri.
ReplyDeleteMdau wa mwisho wacha ushamba na ukiritimba! Unga mkono vitu vya maendeleo na si vitu vya kipuuzi unavyosupport!! Unatakiwa ufurahi unapoona mtanzania mwenzako anajaribu kama si kufanya jambo la maana kwa Watanzania wenzake na kwa nchi yake. Get a lesson!!
ReplyDeleteMdau Jun25,10:00.What lesson have you given here??Nawaunga mkono wakati wote waTanzania wenzangu wenye kufanya vitu vya maendeleo kwa nchi,kama tuko realistic!Nina ishi Roma miaka kibao!!!And as far as lessons are concerned learn to be elastic,you should also have a bit of sense of humour!!!!Bado nauliza wanaficha nini?!
ReplyDeleteaah jamaa vipipi kibindoni!hahaaa!
ReplyDelete