Msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Rungwe Ndg. Noel Mahyenga akimkaribisha Prof.Mark Mwandosya alipowasili katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe kurudisha Form za kugombea Ubunge wa Jimbo la Rungwe Mashariki
Prof Mark Mwandosya na waliomsindikiza wakimsikiliza Msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Rungwe Ndg. Noel Mahyenga Ofisi kwake mara baada ya kufika hapo kurejesha form za kugombea Ubunge wa Jimbo la Rungwe Mashariki.
Anaewania Ubunge kupitia CCM Jimbo la Rungwe Mashariki Prof. Mark Mwandosya akiangalia mda mara baada ya kutaniwa na mwenzie anaewania jimbo la Rungwe Magaharibi Prof. Mwakyusa kuwa mda wa kurudisha form umekwisha katika Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Rungwe alipokuwa anakwenda kurudisha form ya kuwania Kugombea Ubunge wa Jimbo hilo
Muwania Ubunge kupitia CCM Jimbo la Rungwe Mashariki Prof. Mark Mwandosya akiwa ameongozana na mke wake na baadhi ya wana CCM kuelekea Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Rungwe kurudisha form ya kuwania Kugombea Ubunge wa Jimbo hilo.
Prof Mark Mwandosya na waliomsindikiza wakimsikiliza Msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Rungwe Ndg. Noel Mahyenga Ofisi kwake mara baada ya kufika hapo kurejesha form za kugombea Ubunge wa Jimbo la Rungwe Mashariki.
Anaewania Ubunge kupitia CCM Jimbo la Rungwe Mashariki Prof. Mark Mwandosya akiangalia mda mara baada ya kutaniwa na mwenzie anaewania jimbo la Rungwe Magaharibi Prof. Mwakyusa kuwa mda wa kurudisha form umekwisha katika Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Rungwe alipokuwa anakwenda kurudisha form ya kuwania Kugombea Ubunge wa Jimbo hilo
Muwania Ubunge kupitia CCM Jimbo la Rungwe Mashariki Prof. Mark Mwandosya akiwa ameongozana na mke wake na baadhi ya wana CCM kuelekea Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Rungwe kurudisha form ya kuwania Kugombea Ubunge wa Jimbo hilo.
Mbona Ofisi ya mheshimiwa msimamizi wa Uchaguzi ina kalenda nyingi namna hiyo au nyingine ni urembo nini? Kwa haraka nimehesabu kalenda 7 picha ya 2.
ReplyDeleteWishing best of luck to the two Proffesors in up coming Rungwe campaign. We would to see peaceful election in Rungwe. Kasesela
ReplyDeleteRAIS WA 2015. NDO MAANA KUNDI LA MAFISADI LIMEANZA KUMLETEA ZENGWE......
ReplyDeletehUNA KAZI NDIO MAANA UMEHESABU KALENDA
ReplyDeletehongera nyingi kwa wana Mbeya,msimamo mliouonyesha umethibitisha umoja ni nguvu,sio kuchezewa chezewa na pesa chafu za mafisadi,pesa mmekula kisha mkawapiga chini vibaraka wao!!!!
ReplyDeletehureeee mbeya