Juu na chini Mbunge mteule wa jimbo la Arusha mjini kwa tiketi ya CHADEMA Godbless Lema akiwa anaondoka katika ofisi ya halmashauri ya jiji la Arusha mara baada ya kutangazwa kuwa mbunge akiwa anasindikizwa na wanachi pamoja na wapambe wake. Mh. Lema amepata kura 56, 569 dhidi ya Dk. Batilda Burian wa CCM aliepata kura 37,460. Picha na Woinde Shizza wa Globu ya Jamii


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Gooood, ongeza speed kuweka matokeo kila yanaposikika. Wengine tunategemea hapa kupata taarifa sahihi. Ungeweka pia chart ya kuoshesha mwelekeo wa matokeo katika ubunge na udiwani

    ReplyDelete
  2. Michuzi ulikuwa unabana ,sasa unaanza kubanua mwenyewe.

    ReplyDelete
  3. Na kule Hai je? tehe tehe tehe!

    ReplyDelete
  4. Change is comming

    ReplyDelete
  5. YAP! CHANGE IS COMING. CHANGE IS COMING! TUTAFIKA TU, SIO LEO LAKINI TUMEPIGA HATUA. CHANGE IS COMING!!!!!

    ReplyDelete
  6. Arusha Town they know better...Love my old city...heheheh

    ReplyDelete
  7. Huyu ndugu aliyekaa hapo juu ya hilo gari jamani usalama wake mbona anauweka mashakani, hope sio mbuge aliyechaguliwa kama ni yeye tunakoelekea ni kubaya. Its good to win but that kind of celebration is owkward

    ReplyDelete
  8. Hapa kura zimekataa kuchakachulika. Tehe tehe tehe!

    ReplyDelete
  9. mdau wa Mon Nov 01, 10:46:00 PM,
    vipi na wewe?embu toka hapa

    ReplyDelete
  10. LEMA TUNATAKA MABADILIKO YA KWELI HAPA ARUSHA! MAMBO YA KUKWAMA KULE NJIRO WAKATI WA MVUA TUNAOMBA IWE HISTORIA KWETU! AU SIYO WADAU!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...