Mkurugenzi wa uendeshaji wa mfuko wa pensheni kwa watumishi wa umma (PSPF) Bw. Patric Mogella akiongea kabla ya kukabidhi msaada wa mashuka 420 na foronya 240 wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 4.6 kwa hospitali ya mkoa wa Kagera. Shoto ni mwenyekiti wa bodi ya hospitali hiyo Bw. Johansen Rutabingwa na kulia ni mganga mkuu wa mkoa wa Kagera Dr Alex Mwita.
Mganga mkuu wa hospitali ya mkoa wa Kagera Dr Alex Mwita (kulia)na Mwenyekiti wa bodi ya hospitali hiyo B w. Johansen Rutabingwa na meneja uendeshaji wa PSPF Bw. Patrick Mongella wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupokea msaada huo. Picha na Audax Mutiganzi,Bukoba
Mganga mkuu wa hospitali ya mkoa wa Kagera Dr Alex Mwita (kulia)na Mwenyekiti wa bodi ya hospitali hiyo B w. Johansen Rutabingwa na meneja uendeshaji wa PSPF Bw. Patrick Mongella wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupokea msaada huo. Picha na Audax Mutiganzi,Bukoba
duh, hilo shuka au bango la biashara??
ReplyDelete