Home
Unlabelled
toleo jipya la jarida lako pendwa la Bang! liko mitaani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
I realy appreciate for those who devote their efforts and time to give us career path of these inspirational&motivational mentors!!!
ReplyDeletekeep it up bang!!!highly appreciated!!!
Wale wanaouliza Bongo maisha vipi? Huo ndio ujasiriamali, jifunze amali ambayo itakusaidia ukirudi Bongo. Kila kitu Bongo kipo ujanja ni wako tu.
ReplyDeleteWengine biashara zetu zimekufa hakuna umeme, bongo nini bwana ati kila kitu kipo umeme je? hiyo ndo bidhaa adimu
ReplyDeleteSasa mbona hata email za biashara hawajibu? Bongo kazi kwelikweli.
ReplyDeleteNakubaliana na hapo juu. Nimeandika email huko NHC kuhusu hizo nyumba walizoziweka kwenye mitandao kuwa zinauzwa/zinapangishwa na mpaka leo hii hakuna majibu. Haya magazeti is just for show-off tuu. Hii mitandao wanayoiweka kwenye website za government au makampuni haziangaliwi wala hazijibiwi!!!! Halafu mnapiga kelele turudi nyumbani kuwekeza how can this be accomplished kama email za maswali muhimu hayajibiwi? Tunaona maendeleo sawa, sasa inaishi kwenye mapicha na magazine tuu? Sidhani hata balozi zetu huku zinahabari ya vitu kama real estate investment yeyote iliopo Tanzania. Kwa sababu kama NHC wanataka kuuza hizo nyumba kwa halali si kwa kuuziana kiukoo matangazo hayo na contact information zingekuwa na balozi zetu huku nje ili tupate jina na contact za mtu wa kuongea naye huko home. Umeme ndiyo usiseme hata safari nimeahirisha niliposikia kuna mgao wa umeme ni bora niende las vegas au Hawaii au London kutembea summer hii kuliko kwenda kuanza kuzizima magenerator na bei ya mafuata ni mara 3 ya huku! OMG!
ReplyDeleteMdau USA
usilogwe ukarudi bongo,utalost ile mbayaaaa. no umeme,no maji.halafu wanasema bongo tambarareee. Kama unabisha jaribu kurudi uone,utadata hadi ukumbuke box lako uliloliacha kiwanja.heheheee
ReplyDeleteNapenda kununua gazeti hili kwa M-pesa je nitapata mtu wa kuniletea ofisini?
ReplyDelete