Warembo wanaoshiriki shindano la Miss Tanzania 2011, wakiwasili katika viwanja vya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) leo kujionea shughuli mbalimbali za uzalishaji mali zinazoendeleo katika kampuni hiyo ambayo ni mmoja wa wadhamini wa shindano hilo kupitia kinywaji cha Redds.
 Warembo wakivaa miwani ya kujikinga na vitu vya kupasuka kabla ya kuingia kiwandani.
 Wartembo wakipatiwa maelezo ya namna shughuli za uzalishaji Bia unavyofanyika.
Victoria Kimaro Meneja wa Kinywaji Redds akizungumza baada ya ziara hiyo ya warembo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Uncles!! make me proud baby girl
    -Uncle Lu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...