Waziri wa Fedha,Mh. Mustafa Mkulo akisoma hotuba ya ufunguzi rasmi wa maonyesho ya Wizara ya Fedha ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania bara yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika Hodhi la Mali za Serikali (CHC),Dome Malosha akipokea kikombe cha ushindi wa jumla wa kwanza wa maonyesho ya Wizara ya Fedha ya miaka 50 ya uhuru kutoka kwa Waziri wa Fedha,Mh. Mustafa Mkulo leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Fedha,Mh. Mustafa Mkulo akizindua kitabu cha historia ya Wizara ya Fedha leo jijini Dar es salaam kwenye maonyesho ya Wizara ya Fedha ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania bara yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi mmoja.Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Uhuru wa Tanzania ? au Uhuru wa Tanganyika? Tanzania haijawahi kutawaliwa !! bora useme Uhuru wa Tanzania Bara au ndio kusema Tanganyika ndio Tanzania tufahamishe tuelewe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...