Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na watanzania waishio Australia wakati alipokutana nao mjini Perth unakofanyika mkutano wa wakuu wa nchi za jumuiya ya madola leo jioni. Picha na Freddy Maro
Picha ya pamoja ya wanajumuia wa kike wanaoishi Australia pamoja na Mke wa Rais na Mama Salma Kikwete  baada ya kumalizika kwa mkutano wa Rais Kikwete na Watanzania wanaoishi Australia leo.
Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO. 
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Wabongo tumezidi kukimbilia nchi za nje. Yaani kila nchi tupo tunahaha.

    Mnatesa au mnateseka huko majuu?

    Mdau
    Igunga, Tabora

    ReplyDelete
  2. I have lived in Canberra for many many years and I am sure we do not have a national org for Tanzanians here in Australia. There are pockets of orgs in each city. The one you are referring to is probably for Western Australia which is 5 hours journery by Air.

    Also the people living in the Eastern side were not informed of this occassion. First time I hear about it is through you although I knew His Excellecy JK was comming to Perth.

    Cheers

    ReplyDelete
  3. naona ni wakati wa serekali kukubali na kupitisha sheria ya watanzania kuwa na uraia wa nchi mbili. kwani naona wabongo wengi tunajibana bana sana manchi ya watu na atutaki kurudi nyumbani.
    mdau paris

    ReplyDelete
  4. Ester Elisaria nakuona mama....you have trimmed ee...au unakula mikate sana...all the best mama

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...