Mwimbaji maarufu wa muziki wa injili nchini Tanzania Flora Mbasha na mumewe (shoto) walipata fursa ya kutembezwa katika studio nzima, na kuweza kuona utendaji wa kazi unavyoenda. Pichani wakiwa Mkuu wa idhaa ya kiswahili, Dk. Hamza Mwamoyo na mtayarishaji wa vipindi Bwana Dwayne Collins (kuume). Baada ya hapo kwa pamoja Flora Mbasha alifanyiwa mahojiano na watangazi Sunday Shomary na Mary Mgawe ambayo yalirushwa moja kwa moja hewani. Habari hii imeletwa kwenu na Alex kassuwi, Washington DC.
. Mkuu wa idhaa ya kiswahili, Dk. Hamza Mwamoyo, akiongea na Flora Mbasha
Flora Mbasha akihojiwa na Mary Mgawe na Sunday Shomari
katika studio za VOA
Nimeshindwa kujua yupi ni Dwayne na yupi ni mume wa Frola Mbasha hapo kwenye picha ya juu
ReplyDeleteAliyevaa suti nyeupe mrefu ndie Mr. Mbasha
ReplyDeleteinatia moyo amepata mafanikio mazuri kati kutangaza injili. Bwana apewe sifaaaaaaa
ReplyDelete