Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt Terezya Huvisa akizungumza na mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Mh Saveli Mwangasame mara baada ya kuwasili kuangalia Mradi ya kampuni ya Mantra ya Tanzania inayoendeshwa na kampuni ya Uraniaum One ya Canada Wilaya ya Namtumbo Mkoa wa Ruvuma. Picha na mdau Ali Meja wa VPO
Home
Unlabelled
Waziri Terezya ziarani Wilaya ya Namtumbo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...